Deuteronomy 3:11

11 a(Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa
Dhiraa tisa ni sawa na mita 4.
na upana wa dhiraa nne.
Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)

Copyright information for SwhNEN